Mhubiri 2 : 8 Ecclesiastes chapter 2 verse 8

Swahili English Translation

Mhubiri 2:8

tena nikajikusanyia fedha na dhahabu, na tunu za kifalme na za kutoka katika majimbo. Nikajipatia waimbaji, waume kwa wake, nao wale ambao wanadamu wanawatunuka, masuria wengi sana.
soma Mlango wa 2

Ecclesiastes 2:8

I also gathered silver and gold for myself, and the treasure of kings and of the provinces. I got myself men-singers and women-singers, and the delights of the sons of men--musical instruments, and that of all sorts.